Mkutano wa 23 wa nchi wanachama wa mkataba wa mabadiliko ya tabianchi, COP23 umefanyika wiki hii huko Bonn, Ujerumani, lengo kuu ni kuchagiza mbinu za kukabili mabadiliko ya tabianchi ambayo yanaendelea kuwa mwiba kwa wakazi wengi duniani. Kando na vikao kumefanyika pia burudani,basi ungana na Grace Kaneiya katika Makala ifuatayo
mwana wa liganga blog ni blog ya kutoa taarifa, matukio, yaliyotokea katika ulimwengu hususani katika nchi yaTanzania blog hii inasimamiwa na mwandishi wa habari kitaaluma bwana Deus Thomas liganga.lengo ni kutoa taarifa kwa umma,kwa maendeleo ya taifa na Dunia kwa ujumla kwa mawasiliano kuhusu mtangazo, habari, wasiliana nasi 0659944423,deusliganga@yahoo.com,mzeeliganga@gmail.com
Jumamosi, 11 Novemba 2017
Utamaduni na burudani vyang'aa mkutano COP23
Mkutano wa 23 wa nchi wanachama wa mkataba wa mabadiliko ya tabianchi, COP23 umefanyika wiki hii huko Bonn, Ujerumani, lengo kuu ni kuchagiza mbinu za kukabili mabadiliko ya tabianchi ambayo yanaendelea kuwa mwiba kwa wakazi wengi duniani. Kando na vikao kumefanyika pia burudani,basi ungana na Grace Kaneiya katika Makala ifuatayo
Jisajili kwenye:
Chapisha Maoni (Atom)
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni