Jumamosi, 11 Novemba 2017

Utamaduni na burudani vyang'aa mkutano COP23



 Mkutano wa 23 wa nchi wanachama wa mkataba wa mabadiliko ya tabianchi, COP23 umefanyika wiki hii huko Bonn, Ujerumani, lengo kuu ni kuchagiza mbinu za kukabili mabadiliko ya tabianchi ambayo yanaendelea kuwa mwiba kwa wakazi wengi duniani. Kando na vikao kumefanyika pia burudani,basi ungana na Grace Kaneiya katika Makala ifuatayo

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni