mwana wa liganga blog ni blog ya kutoa taarifa, matukio, yaliyotokea katika ulimwengu hususani katika nchi yaTanzania
blog hii inasimamiwa na mwandishi wa habari kitaaluma bwana Deus Thomas liganga.lengo ni kutoa taarifa kwa umma,kwa maendeleo ya taifa na Dunia kwa ujumla
kwa mawasiliano kuhusu mtangazo, habari, wasiliana nasi 0659944423,deusliganga@yahoo.com,mzeeliganga@gmail.com
Jumatano, 12 Julai 2017
James Kotei asaini Simba mwaka mmoja
Kiungo James Kotei amesaini mkataba wa mwaka mmoja kuichezea tena Simba.
Awali Kotei raia wa Ghana alikuwa na mkataba wa miezi sita tu Simba ilipomsaini kutoka Oman.
Lakini umuhimu wake, wameona waongeze mkataba wa mwaka mmoja wa mchezaji huyo kiraka.
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni