mwana wa liganga blog ni blog ya kutoa taarifa, matukio, yaliyotokea katika ulimwengu hususani katika nchi yaTanzania
blog hii inasimamiwa na mwandishi wa habari kitaaluma bwana Deus Thomas liganga.lengo ni kutoa taarifa kwa umma,kwa maendeleo ya taifa na Dunia kwa ujumla
kwa mawasiliano kuhusu mtangazo, habari, wasiliana nasi 0659944423,deusliganga@yahoo.com,mzeeliganga@gmail.com
Alhamisi, 13 Julai 2017
Everton yaifunga Gor Mahia 2 - 1, Rooney apiga bao
Mpira umekwisha kwa Everton kushinda bao 2-1, magoli yakifungwa na
Rooney dakika ya 35 kabla Tuyisenge wa Gor Mahia kusawazisha dakika
mbili baadaye. Goli la ushindi la Everton limepatikana dakika ya 82
kupitia kwa Dowell.
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni