Alhamisi, 13 Julai 2017

Everton yaifunga Gor Mahia 2 - 1, Rooney apiga bao


 Mpira umekwisha kwa Everton kushinda bao 2-1, magoli yakifungwa na Rooney dakika ya 35 kabla  Tuyisenge wa Gor Mahia kusawazisha dakika mbili baadaye. Goli la ushindi la Everton limepatikana dakika ya 82 kupitia kwa Dowell.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni