Jumatatu, 26 Juni 2017

UTANI WA WABONGO



baada ya kuwepo  kwa zuio la kutotumia jina la mcheza soka, raia wa  kenya victor wanyama ,katika mtaa mojawapo jijini Dar es salaam .kumeibuka utani wa kuandika majina ya baadhi ya wadau wa soka hapa nchni kwenye mabango ya mtaa.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni