mwana wa liganga blog ni blog ya kutoa taarifa, matukio, yaliyotokea katika ulimwengu hususani katika nchi yaTanzania
blog hii inasimamiwa na mwandishi wa habari kitaaluma bwana Deus Thomas liganga.lengo ni kutoa taarifa kwa umma,kwa maendeleo ya taifa na Dunia kwa ujumla
kwa mawasiliano kuhusu mtangazo, habari, wasiliana nasi 0659944423,deusliganga@yahoo.com,mzeeliganga@gmail.com
Jumatatu, 26 Juni 2017
UTANI WA WABONGO
baada ya kuwepo kwa zuio la kutotumia jina la mcheza soka, raia wa kenya victor wanyama ,katika mtaa mojawapo jijini Dar es salaam .kumeibuka utani wa kuandika majina ya baadhi ya wadau wa soka hapa nchni kwenye mabango ya mtaa.
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni