mwana wa liganga blog ni blog ya kutoa taarifa, matukio, yaliyotokea katika ulimwengu hususani katika nchi yaTanzania blog hii inasimamiwa na mwandishi wa habari kitaaluma bwana Deus Thomas liganga.lengo ni kutoa taarifa kwa umma,kwa maendeleo ya taifa na Dunia kwa ujumla kwa mawasiliano kuhusu mtangazo, habari, wasiliana nasi 0659944423,deusliganga@yahoo.com,mzeeliganga@gmail.com
Jumapili, 28 Januari 2018
Jumamosi, 27 Januari 2018
Mume amteka mkewe, aamuru rafiki yake ambake kisha kammwagia tindikali…..kisa?
Lucy Ndungu aliwekewa dawa za kulevya na mumewe na ndipo alipoweza kumteka akiwa na rafiki yake, na baada ya kumbaka na kummwagia tindikali waliutupa mwili wake kando ya barabara.
Familia ya marehemu imeeleza kuwa ilimkuta Lucy anamajeraha ya kuungua kwa 75% ya mwili mzima huku hali yake ikiwa mbaya sana na hivyo akawahishwa katika Hospitali ya Taifa Kenyatta kupatiwa matibabu lakini hata hivyo akiwa kwenye matibabu hayo alifariki dunia.
Inaelezwa sababu ya mume huyo kufanya hivyo ni kwamba, walikuwa kwenye ugomvi na Lucy akaamua kuachana naye na kuondoka nyumba waliokuwa wanaishi pamoja na kukataa kurudiana na mumewe huyo jambo ambalo linadaiwa kumkasirisha mwanaume huyo.
NEC YATOA MAAMUZI MAZITO RUFAA YA MGOMBEA UBUNGE JIMBO LA KINONDONI: Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) yakubaliana na maamuzi ya Msimamizi wa Uchaguzi ngazi ya Jimbo ya kuruhusu mgombea wa chadema kuendelea kuwa mgombea wa Ubunge Jimbo la Kinondoni. Yatoa pia maamuzi juu ya rufaa tano za wagombea udiwani
MRADI WA CHUO CHA VETA LUDEWA WANUKA RUSHWA, MENEJA MRADI ASIMAMISHWA:
Waziri
wa elimu sayansi na teknolojia Prof Joyce Ndalichako imeitaka mamlaka
ya kuzuia na kupambana na rushwa (TAKUKURU) kufanya uchunguzi katika
mradi wa ujenzi wa chuo cha ufundi stadi VETA kilichopo wilayani Ludewa
mkoani Njombe kutokana na ujenzi wa chuo hicho kuhusishwa na vitendo
vya rushwa.
“Ninaiagiza bodi ya VETA kumsimamisha kazi meneja miradi wa VETA Denis Masoi kwa kuingia mkataba na kampuni ya ujenzi isiyo na sifa. Meneja huyu amekuwa akinidanganya kwamba mradi unaendelea vizuri…ni kipi kizuri kinaendela hapa.”
“Ninaitaka bodi pia ifike eneo la mradi…wakae na mshauri elekezi na ndani ya wiki moja waniletee ushauri wa namna gani mradi huu unaweza kujengwa kwa muda mfupi,” alisema Ndalichako.
Awali waziri Ndalichako ametembelea katika chuo cha ufundi stadi kilichopo Makete na kuwataka wakala wa majengo hapa nchini kujitathmini kwa kushindwa kutii mkataba waliokubaliana na serikali na kuchelewesha ujenzi tofauti na makubaliano ya mkataba .
“Ninaiagiza bodi ya VETA kumsimamisha kazi meneja miradi wa VETA Denis Masoi kwa kuingia mkataba na kampuni ya ujenzi isiyo na sifa. Meneja huyu amekuwa akinidanganya kwamba mradi unaendelea vizuri…ni kipi kizuri kinaendela hapa.”
“Ninaitaka bodi pia ifike eneo la mradi…wakae na mshauri elekezi na ndani ya wiki moja waniletee ushauri wa namna gani mradi huu unaweza kujengwa kwa muda mfupi,” alisema Ndalichako.
Awali waziri Ndalichako ametembelea katika chuo cha ufundi stadi kilichopo Makete na kuwataka wakala wa majengo hapa nchini kujitathmini kwa kushindwa kutii mkataba waliokubaliana na serikali na kuchelewesha ujenzi tofauti na makubaliano ya mkataba .
#VPL VIKOSI: AZAM FC VS YANGA SC LEO
Kikosi
cha Azam FC: Razack Abalora, Himid Mao, Bruce Kangwa, Agrey Moris,
Yakubu Mohamed, Stephan Kingue, Joseph Kimwaga, Salum Abubakar, Bernard
Arthur, Shabani Chilunda, Enock Atta.
Mwadini Ali, David Mwantika, Abdallah Kheri, Salmin Hoza, Idd Kipagwile, Mbaraka Yusuph, Paul Peter
Kikosi cha Yanga: Youthe Rostand, Hassan Kessy, Gadiel Michael, Andrew Vicent, Kelvin Yondani, Said Juma, Raphael Daud, Papy Tshishimbi, Obrey Chirwa, Ibrahim Ajib, Emmanuel Martin.
SUB: Ramadhan Kabwili, Haji Mwinyi, Edward Maka, Juma Mahadhi, Said Mussa, Matheo Anthony, Geoffrey Mwashiuya.
Mwadini Ali, David Mwantika, Abdallah Kheri, Salmin Hoza, Idd Kipagwile, Mbaraka Yusuph, Paul Peter
Kikosi cha Yanga: Youthe Rostand, Hassan Kessy, Gadiel Michael, Andrew Vicent, Kelvin Yondani, Said Juma, Raphael Daud, Papy Tshishimbi, Obrey Chirwa, Ibrahim Ajib, Emmanuel Martin.
SUB: Ramadhan Kabwili, Haji Mwinyi, Edward Maka, Juma Mahadhi, Said Mussa, Matheo Anthony, Geoffrey Mwashiuya.
Jisajili kwenye:
Machapisho (Atom)
























