Mwanasiasa huyo wa chama tawala cha NRM na mlinzi wake waliuawa karibu na nyumba yake huko jijini Kampala.
Jeshi la Polisi nchini humo limeagizwa na Rais Yoweri Museveni kuwasaka waliomuua Mbunge huyo na kuwafikisha mbele ya sheria.
mwana wa liganga blog ni blog ya kutoa taarifa, matukio, yaliyotokea katika ulimwengu hususani katika nchi yaTanzania blog hii inasimamiwa na mwandishi wa habari kitaaluma bwana Deus Thomas liganga.lengo ni kutoa taarifa kwa umma,kwa maendeleo ya taifa na Dunia kwa ujumla kwa mawasiliano kuhusu mtangazo, habari, wasiliana nasi 0659944423,deusliganga@yahoo.com,mzeeliganga@gmail.com
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni