Asilimia 33.6 pekee ya wapiga kura ndio waliopinga kundolewa kwa kipengee hicho. Mwenyekiti wa tume ya uchaguzi Barry Ryan alitangaza matokeo ya kura hiyo ya maoni mbele ya maelfu ya wananchi waliojawa na furaha.
Kura hiyo ya maoni iliungwa mkono katika eneo bunge 40 nchini humo isipokuwa eneo bunge la Donegal. Mji mkuu wa Dublin uliongoza kwa kuunga mkono kura hiyo ya maoni huku asilimia 51.9 ya wapiga kura wa mji huo wakiunga mkono utoaji mimba
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni