
Beki wa Real Madrid C.F. Sergio Ramos ametuma salamu za pole nahodha wa Misri na mshambuliaji wa Liverpool FC Mohamed Salah baada kumsababishia majeraha yanayoweza kumuweka nje ya mashindano ya Kombe la Dunia kwenye mchezo wa fainali ya UEFA Champions League
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni