Jumapili, 27 Mei 2018

Ramos atuma salamu za pole kwa nahodha wa Misri na mshambuliaji wa Liverpool FC Mohamed Salah

Image may contain: 1 person
 Beki wa Real Madrid C.F. Sergio Ramos ametuma salamu za pole nahodha wa Misri na mshambuliaji wa Liverpool FC Mohamed Salah baada kumsababishia majeraha yanayoweza kumuweka nje ya mashindano ya Kombe la Dunia kwenye mchezo wa fainali ya UEFA Champions League

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni