Jumatatu, 14 Mei 2018

afisa ushirika wilaya ya kilombero awapiga msasa chama cha ushirika chita chipelekesi



 wanachama wa vyma vya ushirika katika halmashauri ya wilaya kilombero  mkoani morogoro, wametakiwa kujenga  umoja na mshikamano ili kuepuka  migogoro  mbalimbali katika vyama hivyo .
akizungumza katika mkutano wa chama cha ushirika wa chita maarufu kama chipelekesi , afisa  ushirika katika halmashauri  ya wilaya  ya kilombero  bwana johnson makolo amewataka  viongozi na wanachama  wa chipelekesi  kuepuka migogoro ya mara kwa mara ili ushirika wao usonge mbele.



Hakuna maoni:

Chapisha Maoni