mwana wa liganga blog ni blog ya kutoa taarifa, matukio, yaliyotokea katika ulimwengu hususani katika nchi yaTanzania blog hii inasimamiwa na mwandishi wa habari kitaaluma bwana Deus Thomas liganga.lengo ni kutoa taarifa kwa umma,kwa maendeleo ya taifa na Dunia kwa ujumla kwa mawasiliano kuhusu mtangazo, habari, wasiliana nasi 0659944423,deusliganga@yahoo.com,mzeeliganga@gmail.com
Ijumaa, 25 Mei 2018
MSIMAMO: Baada ya mechi moja ya leo, sasa mchezo wa mwisho kati ya Yanga na Azam utakaopigwa Jumatatu Mei 28, 2018 saa 2:00 usiku ndiyo utakaoamua nafasi ya pili kwenye msimamo wa #VPL Pia mechi mbili za Majimaji vs Simba na Ndanda vs Stand United ndizo zitakazoamua timu ya kuungana na Njombe Mji kwenye Ligi Daraja la Kwanza.
Jisajili kwenye:
Chapisha Maoni (Atom)
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni