Hata hivyo taarifa iliyotolewa na Umoja wa Mataifa siku za hivi karibuni ni kwamba wanawake ndio waathirika wakuu wa mabadiliko haya ya tabia ya nchi kuliko wanaume.
Takwimu za Umoja wa Mataifa zinaonesha kuwa asilimia 80 ya watu ambao wanalazimika kuhama kutoka eneo moja kwenda eneo jingine kutokana na mabadiliko ya tabia ya nchi ni wanawake.
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni