Naibu waziri ndugulile ametoa agizo hilo mjini Dodoma wakati akizungumza na waandishi wa habari ambapo pamoja na agizo hilo pia amewataka kupunguza matumizi ya vileo na tumbaku kutokana na athari kubwa zinazojitokeza katika afya ya kinywa na meno.
Maadhimisho hayo hufanyika Machi 20 kila mwaka, na mwaka huu kitaifa yamepangwa kufanyika wilayani Tarime mkoani Mara yakiwa yamebaba kauli mbiu isemayo “sema haaaaaa fikiri kinywa fikiri afya’’.
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni