katika maadhimisho hayo yaliyoambatana na maandamano. ya wanafunzi na wakufunzi wa chuo hicho ambapo pia mada mbalimbali ziliwasilishwa na maprofesa wa chuo hicho ikiwa ni kuwajengea uwezo wanafunzi shule hizo kujituma katika masomo na kufikia malengo yao.
mbali na matukio hayo uongozi wa chuo cha mzumbe umechangisha fedha takribani milioni 2 kusaidia ujenzi wa choo katika shule ya msingi mzumbe inayokabiliwa na changamoto hiyo.pamoja na kuzindua mpango wa kutoa elimu mbalimbali za ujasiriamali kwa vijiji vya jirani vinavyoizunguka chuo hicho nawilaya ya mvomero kwa ujumla.
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni