mwana wa liganga blog ni blog ya kutoa taarifa, matukio, yaliyotokea katika ulimwengu hususani katika nchi yaTanzania
blog hii inasimamiwa na mwandishi wa habari kitaaluma bwana Deus Thomas liganga.lengo ni kutoa taarifa kwa umma,kwa maendeleo ya taifa na Dunia kwa ujumla
kwa mawasiliano kuhusu mtangazo, habari, wasiliana nasi 0659944423,deusliganga@yahoo.com,mzeeliganga@gmail.com
Jumapili, 11 Machi 2018
CHINA WAPITISHA URAIS USIO NA UKOMO:
Rais wa China, Xi Jinping huenda akasalia madarakani nchini humo hadi
mwisho wa uhai wake baada ya bunge la nchi hiyo kufanya mabadiliko ya
katiba na kuondoa ukomo wa muda wa rais kukaa madarakani.
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni