
Goli la Barcelona limefungwa na mshambuliaji wake Lionel Messi kwa mpira wa adhabu ya moja kwa moja ambapo hadi dakika 90 zinamalizika goli hilo lilidumu.
Kwa matokeo hayo Barca inakuwa na alama 69 ikifuatiwa na Atletico yenye alama 61 huku Madrid wakishika nafasi ya tatu kwenye msimamo wa La Liga kwa alama 54.
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni