Taarifa zinadai kuwa Rapa huyo ameruhusiwa kwenda nyumbani baada ya hali yake kuwa sawa huku kupitia ukurasa wake wa Instagram siku ya jana March 5, 2018 alipost picha ya mkono wake ukiwa na saa za thamani nakuweka caption ya FloridaBoy ikiwa ni eneo ambalo star huyo alizaliwa.
mwana wa liganga blog ni blog ya kutoa taarifa, matukio, yaliyotokea katika ulimwengu hususani katika nchi yaTanzania blog hii inasimamiwa na mwandishi wa habari kitaaluma bwana Deus Thomas liganga.lengo ni kutoa taarifa kwa umma,kwa maendeleo ya taifa na Dunia kwa ujumla kwa mawasiliano kuhusu mtangazo, habari, wasiliana nasi 0659944423,deusliganga@yahoo.com,mzeeliganga@gmail.com
Jumanne, 6 Machi 2018
Baada ya Kulazwa kwa siku Nne, ipokee taarifa hii kumhusu Rick Ross
Taarifa zinadai kuwa Rapa huyo ameruhusiwa kwenda nyumbani baada ya hali yake kuwa sawa huku kupitia ukurasa wake wa Instagram siku ya jana March 5, 2018 alipost picha ya mkono wake ukiwa na saa za thamani nakuweka caption ya FloridaBoy ikiwa ni eneo ambalo star huyo alizaliwa.
Jisajili kwenye:
Chapisha Maoni (Atom)
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni