
Magoli ya Brighton & Hove Albion yamefungwa na Lewis Dunk na Glenn Murray huku goli pekee la Arsenal likifungwa na Pierre-Emerick Aubameyang.
Mchezo uliopita Arsenali walikubali kipicgo cha goli 3-0 dhidi ya wababe wa EPL, Klabu ya Manchester City huku wakipoteza mchezo wa fainali ya kombe la EFL dhidi ya wababe hao.

Kwenye mchezo huo kama kawaida mashabiki wa Arsenal walikuwa wanaonesha mabango yaliyosomeka ‘WENGER OUT’ wakimshinikiza kocha wa klabu hiyo Mzee Wenger kuachia nafasi hiyo klabuni hapo.
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni