mwana wa liganga blog ni blog ya kutoa taarifa, matukio, yaliyotokea katika ulimwengu hususani katika nchi yaTanzania blog hii inasimamiwa na mwandishi wa habari kitaaluma bwana Deus Thomas liganga.lengo ni kutoa taarifa kwa umma,kwa maendeleo ya taifa na Dunia kwa ujumla kwa mawasiliano kuhusu mtangazo, habari, wasiliana nasi 0659944423,deusliganga@yahoo.com,mzeeliganga@gmail.com
Jumanne, 20 Februari 2018
ZIARA YA WAZIRI WA ELIMU CHUO KIKUU CHA KAMPALA
Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Profesa Ndalichako afanya ziara ya kushtukiza katika Chuo Kikuu cha Kimataifa cha Kampala apokelewa na wanafunzi huku uongozi wa shule ukikosekana.
Ashangazwa na wanachuo wa mwaka wa kwanza licha ya kufanyiwa utambulisho wa mazingira na uongozi wadaiwa kutofahamu viongozi wakuu wa chuo.
Katika ziara hiyo pia Idara ya Uhamiaji imefanikiwa kuwakamata wafanyakazi wa kigeni 33 wakiwemo walimu ambao wanadaiwa kutokuwa na vibali kati ya wakijaribu kuruka ukuta kukwepa mkono wa sheria.
Jisajili kwenye:
Chapisha Maoni (Atom)

Hakuna maoni:
Chapisha Maoni