Wataalamu hao wanaeleza kuwa Teknolojia hii mpya itasaidia kuvumbua njia mpya za kuhifadhi uzazi wa watoto ambao wako kwenye matibabu ya magonjwa ya saratani na pia ni fursa ya kuchunguza jinsi yai la binadamu linavyokua jambo ambalo milele yote limekuwa siri kwa sayansi.
Inaelezwa kuna imechukua miaka mingi ya kufanyia kazi teknolojia hiyo na hata walipofikia bado haijaweza kuanza kutumika rasmi na kwamba wataalamu sasa wataweza kukuza yai la mwanamke hadi kukomaa kabisa likiwa nje ya ovari.
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni