Ijumaa, 16 Februari 2018

Tazama picha za mtu mrefu zaidi na mtu mfupi zaidi Duniani walipokutana kwa mara ya Kwanza.



Chandra Bahadur Dangi mtu aliyevunja rekodi ya kuwa mtu mfupi kuliko wote Duniani amekutana kwa mara ya kwanza na Sultan Kosen, jamaa ambaye amevunja rekodi ya kuwa mtu mrefu zaidi duniani.
Chandra anatokea Nepal ana urefu cha Sm. 54.6, Sultan anatokea Uturuki ana urefu wa Sm. 251 ambayo ni sawa na futi 8.3.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni