Imetoa tangazo hilo kupitia kituo chake cha televisheni yake ya taifa na kueleza kuwa hatua hiyo ni muhimu katika kukabiliana na mfululizo wa maandamano dhidi ya serikali ambayo yanaendelea na kusababisha uharibifu.
Inaelezwa kuwa mamia ya watu wamepoteza maisha na wengine kujeruhiwa ndani ya miaka mitatu ya machafuko yanayoendelea nchini humo.
Hali ya dharura ya miezi 10 ambayo ilimalizika mwaka jana imeshindwa kuzuia maandamano hayo, hususani baada ya kuachiwa huru kwa maelfu ya wafungwa wa kisiasa.

Hakuna maoni:
Chapisha Maoni