Ijumaa, 2 Februari 2018

picha za maadhimisho ya wiki ya sheria mkoa wa morogoro

watumishi wa mahakama mkoani morogoro wametakiwa kujifunza matumizi ya kompyuta  ili kurahisisha kazi za muhimili huo, nakuingia katika mfumo wa tehama.

hayo yamesemwa na mkuu wa mkoa wa morogoro   Dk Steven Kebwe katika kilele cha maadhimisho ya wiki ya sheria  ngazi ya mkoa , iliyofanyika manispaa y morogoro.


dk kebwe ambaye alikuwa  mgeni rasmi alionya  watumishi wa mahakama kuachana na vitendo vya rushwa ili kutoa haki kwa raia. sambasamba na raia kutojichukulia sheria mikononi .













Hakuna maoni:

Chapisha Maoni