Leo February 17, 2018
zoezi la kupiga kura katika uchaguzi mdogo katika Jimbo la Kinondoni
limeanza ambapo wananchi wanapiga kura kumchagu Mbunge wa Jimbo hilo.
Katika zoezi hilo Mgombe a Ubunge kwa tiketi ya CCM Maulid Mtulia ameongea baada ya kupiga kura .
Mtulia amesema atakubaliana na matokeo yoyote yatakayo tangazwa na Tume ya Uchaguzi Taifa pindi zoezi la kuhesabu kura litakapokamilika.
Mtulia amesema atakubaliana na matokeo yoyote yatakayo tangazwa na Tume ya Uchaguzi Taifa pindi zoezi la kuhesabu kura litakapokamilika.
“Chama
changu sio cha ulalamishi na hata kama kikiona hakikutendewa haki huwa
kinafuata njia za kisheria kwa kufungua kesi Mahakamani kulalamikia
matokeo lakini tutayakubali matokeo yeyote yatakayo kuja jioni” -Mtulia
‘KINONDONI TUTAFANYA BONGE LA COLLABO HAPA RUGE PALE DIAM
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni