Tanzania mbali na Rais Magufuli kushiriki, mawaziri kadhaa pia wanahudhuria mkutano huo akiwemo, Waziri wa Mambo ya Nje, Dkt. Augustine Mahiga, Waziri wa Afya, Ummy Mwalimu na Waziri wa Nishati, Dkt. Medard Kalemani.
mwana wa liganga blog ni blog ya kutoa taarifa, matukio, yaliyotokea katika ulimwengu hususani katika nchi yaTanzania blog hii inasimamiwa na mwandishi wa habari kitaaluma bwana Deus Thomas liganga.lengo ni kutoa taarifa kwa umma,kwa maendeleo ya taifa na Dunia kwa ujumla kwa mawasiliano kuhusu mtangazo, habari, wasiliana nasi 0659944423,deusliganga@yahoo.com,mzeeliganga@gmail.com
Alhamisi, 22 Februari 2018
MKUTANO WA VIONGOZI WAKUU WA EAC:
Tanzania mbali na Rais Magufuli kushiriki, mawaziri kadhaa pia wanahudhuria mkutano huo akiwemo, Waziri wa Mambo ya Nje, Dkt. Augustine Mahiga, Waziri wa Afya, Ummy Mwalimu na Waziri wa Nishati, Dkt. Medard Kalemani.
Jisajili kwenye:
Chapisha Maoni (Atom)


Hakuna maoni:
Chapisha Maoni