mwana wa liganga blog ni blog ya kutoa taarifa, matukio, yaliyotokea katika ulimwengu hususani katika nchi yaTanzania
blog hii inasimamiwa na mwandishi wa habari kitaaluma bwana Deus Thomas liganga.lengo ni kutoa taarifa kwa umma,kwa maendeleo ya taifa na Dunia kwa ujumla
kwa mawasiliano kuhusu mtangazo, habari, wasiliana nasi 0659944423,deusliganga@yahoo.com,mzeeliganga@gmail.com
Jumapili, 4 Februari 2018
Misri: Kaburi la miaka zaidi ya 4 400 lagunduliwa
Kaburi la miaka zaidi ya 4 400 limegunduliwa mjini Cairo , kaburi bila
shaka liliandaliwa katika kipinidi cha firauni, cheo cha wafalme wa
zamani wa Misri katika historia ya bara la Afrika.
Halid el-Anani , waziri anaehusika na masuala ya kistoria nchini Misri
alifahamisha katika mkutano ambao ulihudhuriwa na mabalozi kutoka
katika mataifa tofauti, alisema kuwa kaburi la miaka zaidi ya 4 400
limegunduliwa El-Cebane.
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni