Ijumaa, 2 Februari 2018

Makamu wa Rais alivyohudhuria msiba wa Kapteni Bomani


Leo February 2, 2018 Makamu wa Rais Samia Suluhu Hassan amehudhuria msiba wa Rubani wa Ndege za Serikali, Marehemu Kapteni Dominic Bomani aliyefariki jana kwa ajali ya ndege kwenye uwanja wa ndege wa Abeid Amani Karume.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni