Kaimu Kamanda wa Polisi Arusha Yusuph Ilembo amethibitisha kutokea kwa tukio hilo na kusema gari lilikuwa na watu watatu akiwemo Msaidizi wa Kamanda pamoja na Dereva na amesema hali zao zinaendelea vizuri.
mwana wa liganga blog ni blog ya kutoa taarifa, matukio, yaliyotokea katika ulimwengu hususani katika nchi yaTanzania blog hii inasimamiwa na mwandishi wa habari kitaaluma bwana Deus Thomas liganga.lengo ni kutoa taarifa kwa umma,kwa maendeleo ya taifa na Dunia kwa ujumla kwa mawasiliano kuhusu mtangazo, habari, wasiliana nasi 0659944423,deusliganga@yahoo.com,mzeeliganga@gmail.com
Jumatatu, 26 Februari 2018
Kamanda wa Polisi Arusha Charles Mkumbo amepata Ajali
Kaimu Kamanda wa Polisi Arusha Yusuph Ilembo amethibitisha kutokea kwa tukio hilo na kusema gari lilikuwa na watu watatu akiwemo Msaidizi wa Kamanda pamoja na Dereva na amesema hali zao zinaendelea vizuri.
Jisajili kwenye:
Chapisha Maoni (Atom)
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni