Pia President JPM amemteua Paul Joel Ngwembe kuwa Naibu Mwanasheria Mkuu wa Serikali (DAG) kuanzia February 1, 2018.
Balozi John Kijazi akitangaza uteuzi huu mpya na nafasi walizopangiwa aliyekuwa Mwanasheria Mkuu George Masaju na Naibu wake Gerson Mdemu.
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni