Ijumaa, 2 Februari 2018

: JPM kateua Mwanasheria Mkuu mpya

February 1, 2018 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Magufuli amefanya uteuzi wa Mwanasheria Mkuu wa Serikali ambapo amemteua Dkt. Adelardus Kilangi kuwa Mwanasheria Mkuu wa Serikali (AG).
Pia President JPM amemteua Paul Joel Ngwembe kuwa Naibu Mwanasheria Mkuu wa Serikali (DAG) kuanzia February 1, 2018.

 Balozi John Kijazi akitangaza uteuzi huu mpya na nafasi walizopangiwa aliyekuwa Mwanasheria Mkuu George Masaju na Naibu wake Gerson Mdemu.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni