Alhamisi, 15 Februari 2018

BREAKING NEWS: Waziri Mkuu wa Ethiopia ajiuzulu

Waziri mkuu nchini Ethiopia Hailemariam Desalegn

Imedaiwa kuwa kiongozi huyo aliwasilisha barua yake ya kujiuzulu kwa chama chake cha Ethiopia People's Demecratic front. Hatahivyo haijabainika iwapo chama hicho kimekubali uamuzi wake au la

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni