Kufungwa kwa uwanja huo wa ndege kunatokana na kupatikana kwa bomu la Vita ya Kwanza ya Dunia katika eneo la karibu na eneo lijulikanalo kama Mto Thames katika eneo la uwanja huo wa ndege.
Kwa mujibu wa Msemaji wa Jeshi la Polisi Jijini humo tayari wameanza kushughulikia suala hilo ili kuliondoa bomu hilo.
Kwa leo tu, uwanja huo wa ndege ulikuwa unatakiwa kuhudumia wasafiri 16, 000 lakini wameambiwa wawasiliane na makampuni ya ndege walizokuwa wanasafiri nazo.
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni