Idara ya zima moto ya New York imesema moto huo umedhibitiwa na hakukuwa na majeruhi. Shirika la habari la CBS News limesema moto huo ulizuka saa moja asubuhi kwa saa za Marekani kwa huku ni saa sita mchana, karibu na paa la jengo hilo la ghorofa 68.
Jumba hilo lilikuwa makazi rasmi ya Bw Trump kabla ya kuapishwa kuwa Rais wa Marekani mwaka mmoja uliopita.
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni