#MapinduziCup2018
Mechi imeahirishwa kutokana na mvua kubwa ya mawe inaendelea kunyesha
mjini Unguja. Kipindi cha kwanza cha mchezo kilikuwa tayari
kimemalizika.
Dakika 45 za kipindi cha pili zitapigwa kesho saa 8:30 mchana. Kila kitu kilichotokea katika kipindi cha kwanza ikiwemo magoli na kadi kitaendelea kubaki palepale.
HT: Taifa Jang'ombe 1-3 Singida United.
Dakika 45 za kipindi cha pili zitapigwa kesho saa 8:30 mchana. Kila kitu kilichotokea katika kipindi cha kwanza ikiwemo magoli na kadi kitaendelea kubaki palepale.
HT: Taifa Jang'ombe 1-3 Singida United.

Hakuna maoni:
Chapisha Maoni