mwana wa liganga blog ni blog ya kutoa taarifa, matukio, yaliyotokea katika ulimwengu hususani katika nchi yaTanzania
blog hii inasimamiwa na mwandishi wa habari kitaaluma bwana Deus Thomas liganga.lengo ni kutoa taarifa kwa umma,kwa maendeleo ya taifa na Dunia kwa ujumla
kwa mawasiliano kuhusu mtangazo, habari, wasiliana nasi 0659944423,deusliganga@yahoo.com,mzeeliganga@gmail.com
Jumanne, 9 Januari 2018
BREAKING NEWS; Hassanal ajivua uanachama
Mjumbe wa Kamati kuu ya Chadema na Bodi ya wadhamini ambaye pia ni
mshauri wa Mameya Dar es salaam Muslim Hassanal amejivua Uanachama wa
Chadema na kujiunga na CCM.
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni