Jumanne, 9 Januari 2018

BREAKING NEWS; Hassanal ajivua uanachama



 Mjumbe wa Kamati kuu ya Chadema na Bodi ya wadhamini ambaye pia ni mshauri wa Mameya Dar es salaam Muslim Hassanal amejivua Uanachama wa Chadema na kujiunga na CCM.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni