mwana wa liganga blog ni blog ya kutoa taarifa, matukio, yaliyotokea katika ulimwengu hususani katika nchi yaTanzania
blog hii inasimamiwa na mwandishi wa habari kitaaluma bwana Deus Thomas liganga.lengo ni kutoa taarifa kwa umma,kwa maendeleo ya taifa na Dunia kwa ujumla
kwa mawasiliano kuhusu mtangazo, habari, wasiliana nasi 0659944423,deusliganga@yahoo.com,mzeeliganga@gmail.com
Ijumaa, 29 Desemba 2017
Wizara ya mambo ya ndani kupitia kwa katibu mkuu wake Meja Jenerali Mst. Projest Rwegasira, imetoa onyo kwa viongozi wa jumuiya za kidini kutumia mahubiri yao wakati wa ibada kuchambua masuala ya siasa.
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni