Jumamosi, 4 Novemba 2017

BREAKING: Watu wanne wafariki Dunia katika ajali ya gari

Image result for morogoro images

Magari mawili yamegongana uso kwa uso katika barabara ya Morogoro Iringa maeneo ya Sangasanga na kusababisha vifo vya watu 4 na wengine majeruhi.

Kamanda wa Zimamoto wa Mkoa wa Morogoro amethibitisha kutokea kwa ajali hiyo na zoezi la kuwanasua majeruhi linaendelea 

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni