mwana wa liganga blog ni blog ya kutoa taarifa, matukio, yaliyotokea katika ulimwengu hususani katika nchi yaTanzania blog hii inasimamiwa na mwandishi wa habari kitaaluma bwana Deus Thomas liganga.lengo ni kutoa taarifa kwa umma,kwa maendeleo ya taifa na Dunia kwa ujumla kwa mawasiliano kuhusu mtangazo, habari, wasiliana nasi 0659944423,deusliganga@yahoo.com,mzeeliganga@gmail.com
Jumamosi, 25 Novemba 2017
Baada ya majigambo yaliyochukua,mwaka,miezi,wiki hatimaye ubishi wa kuwania taji la uzito wa kati la GBC kati ya Mtanzania, Ibrahim Class dhidi ya Koos Sibiya wa Afrika Kusini kumalizika uwanja wa Uhuru, Dar es salaam, na kurushwa Live Azam TV kupitia chaneli ya ZBC2 kuanzia saa kumi na moja kamili jioni, ni mawe juu ya mawe, vitasa vya uhakika!
Jisajili kwenye:
Chapisha Maoni (Atom)
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni