Pombe Magufuli ametuma salamu za rambi rambi kwa Mkuu wa Mkoa wa Mwanza John Mongella kufuatia ajali ya basi la abiria iliyoua watu 12 na kujeruhi watatu baada ya kuzama katika ziwa Victoria baada ya kugonga vizuizi vya kivuko cha Kigongo Wilayani Misungwi na kisha kutumbukia na kuzama majini.
mwana wa liganga blog ni blog ya kutoa taarifa, matukio, yaliyotokea katika ulimwengu hususani katika nchi yaTanzania blog hii inasimamiwa na mwandishi wa habari kitaaluma bwana Deus Thomas liganga.lengo ni kutoa taarifa kwa umma,kwa maendeleo ya taifa na Dunia kwa ujumla kwa mawasiliano kuhusu mtangazo, habari, wasiliana nasi 0659944423,deusliganga@yahoo.com,mzeeliganga@gmail.com
Jumanne, 10 Oktoba 2017
Rais Magufuli ameguswa na vifo vya watu 12 waliozama ziwani Mwanza
Pombe Magufuli ametuma salamu za rambi rambi kwa Mkuu wa Mkoa wa Mwanza John Mongella kufuatia ajali ya basi la abiria iliyoua watu 12 na kujeruhi watatu baada ya kuzama katika ziwa Victoria baada ya kugonga vizuizi vya kivuko cha Kigongo Wilayani Misungwi na kisha kutumbukia na kuzama majini.
Jisajili kwenye:
Chapisha Maoni (Atom)
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni