
MSIMAMO WA LIGI: Kukiwa bado kuna mechi sita za mzunguko wa nane zinasubiri kupigwa kesho na kesho kutwa, huu ndiyo msimamo wa #VPL hadi sasa baada ya #KariakooDerby iliyomalizika kwa sare ya 1-1.
Endapo Mtibwa itashinda katika mchezo wake wa kesho dhidi ya Singida United, itakaa kileleni.
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni