Moja ya habari ambayo imekuwa gumzo ni hii inayotokea Kilimanjaro ambako Mahakama ya Hakimu Mkazi Mkoa wa Kilimanjaro imemhukumu kifungo cha maisha jela mfanyabiashara wa Madini Benedict Kimario kwa makosa mawili ya ubakaji na ulawiti.
mwana wa liganga blog ni blog ya kutoa taarifa, matukio, yaliyotokea katika ulimwengu hususani katika nchi yaTanzania blog hii inasimamiwa na mwandishi wa habari kitaaluma bwana Deus Thomas liganga.lengo ni kutoa taarifa kwa umma,kwa maendeleo ya taifa na Dunia kwa ujumla kwa mawasiliano kuhusu mtangazo, habari, wasiliana nasi 0659944423,deusliganga@yahoo.com,mzeeliganga@gmail.com
Jumamosi, 22 Julai 2017
Jisajili kwenye:
Chapisha Maoni (Atom)
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni