Nahodha wa timu ya taifa wa Tanzania anayecheza soka la kulipwa katika club ya KRC Genk ya Ubelgiji Mbwana Samatta leo kupitia ukurasa wake wa instagram ametangaza kuwa amekuwa balozi wa watu wenye ulemavu wa ngozi (Albinism).
mwana wa liganga blog ni blog ya kutoa taarifa, matukio, yaliyotokea katika ulimwengu hususani katika nchi yaTanzania blog hii inasimamiwa na mwandishi wa habari kitaaluma bwana Deus Thomas liganga.lengo ni kutoa taarifa kwa umma,kwa maendeleo ya taifa na Dunia kwa ujumla kwa mawasiliano kuhusu mtangazo, habari, wasiliana nasi 0659944423,deusliganga@yahoo.com,mzeeliganga@gmail.com
Ijumaa, 7 Julai 2017
Mbwana Samatta ametangaza kuwa balozi
Nahodha wa timu ya taifa wa Tanzania anayecheza soka la kulipwa katika club ya KRC Genk ya Ubelgiji Mbwana Samatta leo kupitia ukurasa wake wa instagram ametangaza kuwa amekuwa balozi wa watu wenye ulemavu wa ngozi (Albinism).
Jisajili kwenye:
Chapisha Maoni (Atom)
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni