Jumamosi, 1 Julai 2017

Manny Pacquiao kuzichapa na Jeff Horn kesho

anny Pacquiao (kushoto) akitunishiana msuli na Jeff Horn wakati wa kupima uzito jana Uwanja wa Suncorp kuelekea pambano lao la kesho kutetea ubingwa wake wa WBO uzito wa Welter mjini Brisbane nchini Australia

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni