mwana wa liganga blog ni blog ya kutoa taarifa, matukio, yaliyotokea katika ulimwengu hususani katika nchi yaTanzania
blog hii inasimamiwa na mwandishi wa habari kitaaluma bwana Deus Thomas liganga.lengo ni kutoa taarifa kwa umma,kwa maendeleo ya taifa na Dunia kwa ujumla
kwa mawasiliano kuhusu mtangazo, habari, wasiliana nasi 0659944423,deusliganga@yahoo.com,mzeeliganga@gmail.com
Jumatano, 19 Julai 2017
BARTHEZ RASMI AACHANA NA YANGA NA KUTUA SINGIDA UNITED
Kipa Mustapha Ally Barthez amejiunga na Singida United.
Barthez amesaini mkataba wa miaka miwili kuichezea Singida United.
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni