Jumatano, 21 Juni 2017

Nimeguswa sana na kifo cha Ally Yanga – Rais Magufuli






 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt John Pombe Magufuli aomboleza kifo cha Ali Yanga aliyefariki katika ajali ya gari jana wilayani Mpwapwa, Dodoma.




Hakuna maoni:

Chapisha Maoni