Manispaa ya Dodoma ina utaarifu umma juu ya matapeli waliobuka kwa njia ya simu, ambao wamekuwa wakijitangaza kama Maafisa wa Manispaa wamekuwa wakitumia vyeo mbalimbali na kuwaambia wananchi kuwa wanatakiwa kulipa kodi ya viwanja na majengo kwa miamala ya simu.
mwana wa liganga blog ni blog ya kutoa taarifa, matukio, yaliyotokea katika ulimwengu hususani katika nchi yaTanzania blog hii inasimamiwa na mwandishi wa habari kitaaluma bwana Deus Thomas liganga.lengo ni kutoa taarifa kwa umma,kwa maendeleo ya taifa na Dunia kwa ujumla kwa mawasiliano kuhusu mtangazo, habari, wasiliana nasi 0659944423,deusliganga@yahoo.com,mzeeliganga@gmail.com
Alhamisi, 22 Juni 2017
Manispaa ya Dodoma yatoa tahadhari ya utapeli
Manispaa ya Dodoma ina utaarifu umma juu ya matapeli waliobuka kwa njia ya simu, ambao wamekuwa wakijitangaza kama Maafisa wa Manispaa wamekuwa wakitumia vyeo mbalimbali na kuwaambia wananchi kuwa wanatakiwa kulipa kodi ya viwanja na majengo kwa miamala ya simu.
Jisajili kwenye:
Chapisha Maoni (Atom)
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni