Hakimu Victoria Nongwa aliamua kuiarisha kesi hiyo hadi July 13 ndio itasikilizwa tena, huku Aveva na Kaburu wakirudishwa rumande, Simba leo wametoa taarifa kuwa kamati ya utendaji ya club hiyo itakutana kesho July 1 kwa ajili ya kikao ambacho kitaangalia shughuli za club zisikwame.

Hakuna maoni:
Chapisha Maoni