mwana wa liganga blog ni blog ya kutoa taarifa, matukio, yaliyotokea katika ulimwengu hususani katika nchi yaTanzania
blog hii inasimamiwa na mwandishi wa habari kitaaluma bwana Deus Thomas liganga.lengo ni kutoa taarifa kwa umma,kwa maendeleo ya taifa na Dunia kwa ujumla
kwa mawasiliano kuhusu mtangazo, habari, wasiliana nasi 0659944423,deusliganga@yahoo.com,mzeeliganga@gmail.com
Jumatano, 28 Juni 2017
Jengo lateketea kwa moto Dar
Jengo moja lililopo mtaa wa India jirani na Sabodo Parking Tower jijini
Dar es salaam limeshika moto mchana huu ambapo vikosi vya zimamoto
vimefika eneo la tukio na kufanikiwa kuuzima. Chanzo na madhara
yaliyotokana na moto huo bado kujulikana
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni