Jumatano, 29 Novemba 2017

KANE 1, MAHREZI 1, VARDY 1, MWISHO LEICESTER 2-1 TOTTENHAM

Leicester (4-4-1-1): Schmeichel 7; Simpson 6, Morgan 7.5, Maguire 7, Chilwell 6.5; Mahrez 7 (Gray 77), Ndidi 6.5, Iborra 7, Albrighton 7; Okazaki 6. 5 (Choudhury 82); Vardy 7 (Slimani 83)
Subs not used: Hamer, Dragovic, Amartey, King
Goals: Vardy 13, Mahrez 45+1 
Manager: Claude Puel 7
Tottenham (3-5-2): Lloris 6; Dier 6, Sanchez 6, Vertonghen 6; Aurier 6, Sissoko 5 (Son 57, 7), Dembele 5.5 (Llorente 69, 6), Eriksen 6.5, Rose 6.5; Alli 6, Kane 7
Subs not used: Vorm, Trippier, Davies, Foyth, Lamela
Goal: Kane 79
Bookings: Vertonghen, Lamela 
ManagerR: Mauricio Pochettino 6
Referee: Anthony Taylor 6
Attendance: 31,915 










WES BROM, NEWCASTLE NGOMA YAISHA 2-2 KWA BAO LA JIONI



West Brom (4-4-2): Foster; Nyom; Hegazy; Evans; Gibbs; Phillips: Livermore; Barry (Yacob 66); Field; Robson-Kanu; Rondon
Scorers: Robson-Kanu 45+1, Field 56
Booked:

Newcastle (4-2-3-1): Darlow; Yedlin; Lejuene; Clark; Mbemba; Hayden; Merino; Murphy (Aarons 63); Ayoze Perez; Ritchie; Joselu (Mitrovic 72)
Scorers: Clark 58, Evans o.g. 83








MACHAKU AMESHINDIKANA, MATOLA AJIANDAA KUMTUPIA VIRAGO



Kocha Mkuu wa Lipuli FC, Selemani Matola, ameeleza kuwa, yupo mbioni kuachana na mchezaji wake, Salum Machaku kutokana na utovu wa nidhamu anaoufanya.

Awali, uongozi wa Lipuli uliwasimamisha wachezaji Malimi Busungu na Machaku kutokana na utovu wa nidhamu waliokuwa wakiuonyesha katika klabu hiyo.

Akizungumzia suala hilo; Matola amesema kuwa, katika ripoti yake aliyoiwasilisha kwa uongozi, kuna majina kadhaa ya wachezaji ambao amependekeza kuachana nao akiwemo Machaku.

“Nimewasilisha jina la Machaku kwa uongozi kuweza kuachana naye, simtaki aendelee katika timu kwa kuwa ni mtovu wa nidhamu na hastahili kuwepo kwenye timu.


“Awali alikuwa yeye na Busungu, lakini mwenzie ameonekana kujirekebisha hivyo nimeamua kumuacha aendelee, lakini kwa upande wa Machaku hana nafasi tena ya kuendelea katika kikosi chetu.


“Nadhani akiendelea kukaa katika timu atawaharibu wachezaji wengine kwani nidhamu yake ni mbovu, hivyo sihitaji kuendelea kubaki naye, kwa sasa nipo katika mchakato wa kutafuta wachezaji wengine kwa lengo la kuimarisha kikosi ambapo nimepanga kusajili wachezaji watano katika usajili wa dirisha dogo,” alisema Matola.

SOURCE: CHAMPIONI

ASHLEY YOUNG SI YULE UNAYEMJUA, APIGA MBILI, LINGERD, MARTIAL WAMALIZA KAZI MAN UNITED IKIITWANGA WATFORD 4-2 LIGI KUU ENGLAND



Watford: Gomes, Mariappa, Kabasele, Prodl (Carrillo 58), Femenia, Doucoure, Cleverley, Zeegelaar, Hughes (Pereyra 58), Gray (Deeney 72), Richarlison
Subs not used: Janmaat, Wague, Capoue, Karnezis
Goalscorers: Deeney pen 77, Doucoure 84 
Booked: Doucoure, Mariappa
Manchester United: de Gea, Lindelof, Smalling, Rojo, Valencia, Pogba, Matic (Herrera 54), Young, Lingard (Ibrahimovic 88), Martial (Rashford 65), Lukaku
Subs not used: Mata, Ibrahimovic, Romero, Darmian, McTominay
Goalscorers: Young 19, 25, Martial 32, Lingard 87
Booked: Rojo 
Referee: Jonathan Moss






Mkuu wa Mkoa wa Morogoro apata ajali



Morogoro. Mkuu wa Mkoa wa Morogoro, Dk Steven Kebwe amepata ajali katikati ya Hifadhi ya Taifa ya Mikumi iliyopo wilayani Kilosa mkoani hapa.

Ajali hiyo ilitokea saa saba usiku wa kuamkia leo Jumatano ambapo inadaiwa gari la mkuu huyo wa mkoa lilimgonga mnyama aina ya Nyati na gari hilo kuharibika vibaya.

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Morogoro, Urlich Matei amethibitisha kutokea kwa ajali hiyo na kueleza kuwa taarifa kamili ataitoa mara baada ya kukamilika.

Inadaiwa kuwa ndani ya gari hilo mbali na kuwepo mkuu wa mkoa pia aliambatana na mlinzi wake ambao wote kwa pamoja walitoka salama.

Mwandishi wa Mwananchi alifanya juhudi za kumtafuta mkuu wa mkoa kwa njia ya simu ili kuzungumza naye juu ya ajali hiyo lakini simu yake iliita bila kupokelewa 

Fahamu Aina 7 Za Juisi Zenye Kuondoa Sumu Mwilini




Sumu mwilini hutokana na vile vitu au vyakula ambavyo binadamu hutumia huenda kwa kujua au kutokujua. Sumu hizo pia huweza kuchangiwa na matumizi ya yasiyosahihi ya dawa mbalimbali.
Miongoni mwa mbinu bora na nzuri ya kuondoasumu hizo ndani ya mwili ni pamoja na kutumia vyakula halisi mara kwa mara.

Hapa nanayo orodha ya vinywaji ambavyo huweza kuondoa sumu ndani ya mwili:-

1. Juisi ya mchanaganyiko wa tango na spinachi.
2.Jusi ya mchanganyiko wa tangawizi na spinachi.
3. Juisi ya mchanganyiko wa chungwa na tango.
4. Juisi ya komamanga pamoja na mapera
5. Juisi ya changanyiko wa passion na tango
6. Juisi ya mchanganyiko wa apple na parachichi
7. Juisi ya mchanganyiko wa mbegu za maboga na strawberry

MAGAZETI YA LEO 29/11/2017